Wednesday, September 23, 2009

NIMEMPATA NIMPENDAYE NATAKA FUNGA NAYE NDOA JAMANI SIHITAJI MWINGINE!

Naitwa Eric Esron Mungere Naomba ombi langu hilo liondolewe kwenye orodha ya wanaotafuta uchumba maana nmeshampata wangu na tuko mbioni kufunga ndoa mwaka ujao July,2010! kwani nazidi kupata usumbufu sana! Ahsanteni,
Stay Blessed

HONGERA ERIC

nawakaribisha wadau wengine pia waliowapata hao wachumba wasisite kuutangazia umma kama ndugu yangu hapa alivyofanya, zaidi nitaomba uniambie post ilikuwa ya tarehe ngapi ili niitoe na ufurahie mapenzi yako na umpendaye!

Asante sana,
Till then,
tk
brazatk@yahoo.com

1 comments:

Anonymous said...

tulizo kilaga tunataka kuona mabadiliko kwenye blog yako hususan utalii na nk na si mahaba mahaba yanaboa

Post a Comment

TOMA MAONI YAKO HAPA!