Najua ni muda mrefu wadau wangu, mmekuwa na kiu ya kusoma mambo mapya hapa blogun,lakini kutokana na sababu zisizo zuilika nimeshindwa kupost mambo mapya toka mwaka umeanza. Hii inatokana na majukumu ya kiofisi kuniandama lakini hilo lisiwatie shaka.
mambo mazuri yaja kuanzia jumatatu!
Ndimi
Brazatk
Saturday, January 24, 2009
KUMRADHI WADAU
Tuesday, January 13, 2009
Luv sms
LUV SMS
1. Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia, utamu niliousikia
nilitamani kulia hatima ilipowadia , nakupenda dia usije utamu wangu mwingine
kumpatia! Luv u
2. Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear, kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi malkia katika hii dunia kuwa nawe najivunia. Luv u
3. Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto
kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria, nakumiss dear fanya hima nyumbani
kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda dear
4. Hakika najutia kwa mambo unayonifanyia, nilijitoa kwa moyo wote na mwili wangu
kukuachia chochote utakacho kunifanyia ruhusa nilikupatia nikiamini utatulia
kumbe kunichezea ilikuwa yako nia, umetimiza sasa waniringia. Asante na Mungu
atanisaidia , kilio changu tena hutosikia . Stay blessed
5. Hakika raha wajua kunipatia, fimbo wajua kuitumia sharti mtoto wakike nabaki
nagugumia kwa raha unayonipatia ambayo wengi wanaililia , plz utamu wangu
nitunzie!
6. Uko wapi wangu malkia, mwenzio hamu nasikia nawe ndiye ujuwaye hamu kunitoa,
tafadhali dear upatapo msg hii tambua nyumbani nakusubiria! Luv u
7. Nisamehe la azizi ukweli mbona uko wazi, yule si wangu mpenzi ila ni rafiki yangu
kipenzi, yangu mapenzi ni wewe pekee nayekupa mpenzi, katika hii dunia ni wewe
pekee penzi nayekupatia!
8. Jamani msg huwezi kunitumia, hata bipu nipate jua rohoni nimekuingia, ila ukata
umekuingia. U hali gani dia?
9. Hakika nakuhurumia kwa msiba uliokukumba, lakini kumbuka mwenzetu ametangulia
nasi tutafuatia, hakuna haja ya kulia bali ahitaji kuombewa. Mungu akutie nguvu!
10. Mpenzi mbona mapenzi yetu kama yanapoteza dira, kila siku huishi hila, kitu
kidogo wafura hasira. Wanichanganya dia!
11. Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, naishia kukuota ndotoni,
hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda
12. Mahaba unayonipa natamani niwe nawe mpaka kufa, kila siku zinavyozidi kupita
najuta kwanini nilichelewa penzi kukupa, nakupenda na nitakupenda hadi kufa!
13. Asubuhi imefika ni muda wa kujiandaa na pilika, lakini kazini ukifika isisahau
kutumia japo nusu dakika rafiki zako salamu kuwapa, swawabu utapata! Asubuhi
njema.
14. Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa la dhati
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.
15. Hivi ni lini penzi utanipa, nimechoka na ahadi unazonipa kila kunapokucha,
tambua kwako nimefika na siku utakayonipa zawadi nzuri nitakupa na hutanisahau
hadi kufa.
Tuesday, January 6, 2009
BLOG MPYAAAAAAAAAAAAAAAAA
Blog mpya itayaokuelimisha kuhusu mambo ya kitapeli yanayofanyika hapa BONGO na jinsi ya kujihadhari nayo.kwa undani zaidi tembelea sasa
www.kizotaone.blogspot.com
Monday, January 5, 2009
MWAKA MPYA MAMBO MAPYA!

WADAU KWA TAKRIBAN WIKI KADHAA NIMEKUWA KIMYA, NAOMBA KUWAELEZA KUWA UKIMYA HUU ULIKUWA NI MAANDALIZI YA JARIDA LA CHOMBEZA TIME AMBALO KAMA KAWAIDA YAKE HUSHEHENI MESEJI KALI ZA MAPENZI NA SAFARI HII LIMEONGEZEKA KURASA ILI KUKUPA WEWE MSOMAJI WANGU UHONDO ZAIDI!
HATA HIVYO, NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWAJULISHA KUWA CHOMBEZA TIME LIMEJIFUNGUA JARIDA LINGINE LINALOKWENDA KWA JINA LA CHACHANDU LA LEO TENA AMBALI LITAKUWA TOFAUTI NA CHOMBEZA TIME LAKINI DHAMIRA ILE ILE YA KUELEIMISHA WATANZANIA WENZANGU HKUHUSU MAPENZI,UHUSIANO NA NDOA.
kIMSINGI JARIDA HILI LINAKUJA NA MASUALA YA MAPENZI KAMA KAWAIDA LAKINI YATAKAYOKUWA KATIKA MTINDO TOFAUTI KWANI NDANI YAKE UTAWEZA KUKUTANA NA MADA KALI ZA MAPENZI, MESEJI ZA MAPENZI, USHAURI WA MAPENZI, SIMULIZ ZA CHUMBANI [KWA WAKUBWA TU] KAMA MTOTO ITABIDI USISOME SAFU HIYO, UTAKUTANA PIA NA SIMULIZI ZA KWELI ZA MAPENZI NA MIKASA MBALIMBALI YA MAPENZI NA NDOA
ZAIDI YA YOYE UTASOMA JINSI GANI MASTAA WANAKABILIANA NA MATATIZO YAOP YA MAPENZI KWANI KAMA MNAVYOELEWA MAPENZI YAMEGUBIKWA NA MIGOGORO YA HAPA NA PALE INAYOSABABISHWA NA WIVU WA MAPENZI HIVYO BASI, KUPITIA SAFU HII PENGINE UTAJUA JINSI GANI GEA HABIBU, DINA MARIOUS, MIRIAM ODEMBA, RICHARD WA BIG BROTHER, MASOUD WA KIPANYA AU SITAA YOYOTE YULE KWANI ITATEGEMEANA NA UTAYARI WA STAA HUYO ATAKAYEFUATWA!
CHACHANDU LA LEO TENA LITAKUWA FULL BURUDANI KWANI WALE WAPENZI WA MARAFIKI NA WACHUMBA WATAPATA WASAA WAKUCHAGUA WACHUMBA KUTOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA PIA WAKUCHAGUA WALE WAWAPENDAO!
HAKIKISHA HUKOSI MAJARIDA HAYA MAWILI YATAKAYOKUWA MTAANI MWISHO WA MWEZI HUU AU WIKI YA KWANZA YA JANUARI KWA BEI YA TSH 2000/- TU !
picha ya kava ya chombeza ipo kwenye makala zilizopita
usikose majarida haya mawili yatakayokuwa mitaani hivi karibuni!